Mkate unaonekana kwa karibu, kusabisha magonjwa yote ya ulimwengu. Angalau hivyo ndivyo maudhui fulani ya mtandao ambayo ...
WIZARA ya Afya Tanzania na Wakala wa Maendeleo Afrika (AUDA NEPAL) leo wamesaini mkataba wa ushirikiano katika maeneo matano ...
Utafiti unaonyesha afya ya utumbo inaweza kuhusishwa na kila kitu kutoka viwango vya mafutamafuta mwilini hadi msongo wa mawazo. Na kadri ufahamu wetu kuhusu jukumu la kiungo hiki muhimu ...
IMESHAURIWA na wanataaluma wa afya ya akili kwamba, mahali pa kazi kuwapo ‘mentors’ (washauri), ili kuponya ‘majeraha’ ya ...
“NDOTO yangu ya kuwa daktari imetokana na matakwa pamoja na dhamira ya kusaidia wagonjwa. Mimi na wazazi wangu tulipata shida sana katika mambo ya tiba hivyo nilitamani kuwa daktari kusaidia jamii. Ha ...
Mamlaka nchini Lebabon imethibitisha kuuawa kwa watu wawili katika shambulio la Israeli katika mji wa Jounieh, Kaskazini mwa ...
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umezitaka taasisi zinazohusika na uchaguzi kuona umuhimu wa ...
Mgonjwa wa kwanza wa kipindupindu amepatikana kaskazini mwa Lebanon na kuzua hofu kwamba wale waliofurushwa na mashambulizi ...
Jeshi la Israel linaendelea na mashambulizi yake ya anga tarehe 7 Oktoba, hasa kusini mwa Lebanoni ambako linafanya ...
Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa leo wameshambuliwa kwa siku ya pili mfululizo nchini Lebanon, huku kukiwa na ...
TIMU ya Soka ya Taifa ya vijana wa umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes), inatarajia kuwakaribisha Uganda katika mechi ...
Mchungaji wa Kanisa la Uamsho na Matengenezo ya Kiroho Ulimwenguni, Mwalimu Augustine Tengwa, amewataka Watanzania kuendelea ...